Kumbuka ili uweze kufanikiwa katika mambo yote kwenye maisha yako, yaani; Kiuchumi, Kijamii, Kisiasa, Kiutamaduni, Kiteknolojia, Kiafya, Kidini na Kielimu kwa namna yoyote ile lazima uwe na KUMBUKUMBU na AKILI timamu. Mtu asiye na akili timamu wala kumbukumbu ni mfu anayeishi, hawezi kuona...