Recent content by nauliza

  1. N

    Ving'amuzi vya StarTimes ni takataka

    Mi nazani wewe unataka kuwahi kununua, nimepanga kununua mwezi Julai after full scan of all ving'amuzi kwa sababu vipo vingi njiani vinakuja
  2. N

    Maalim Seif wa Cuf amemteua Dk. Muchi Juma kutoka Pemba kusimamia Machimbo Tanga!!!

    Jee muwekezaji kutoka ndani ya Tz haruhusiwi kuekeza Tz, Mbona hamsemi kuwa JK ANAMILIKI MIFUGO MASHAMBA, Mbowe anamiliki mahoteli
  3. N

    Tamko la Shura ya Maimam mkoa wa Mtwara kuhusu sakata la gesi asilia

    "SHURA" Maana yake ni mkutano wa waislam. Waislam wanapo kuwa na mkutano maana yake wamefanya SHURA. "SHURA YA MAIMAMU" Mkutano wa Maimanu. "TAMKO LA SHURA YA MAIMANU" Tamko la mkutano wa maimamu.
  4. N

    Diwani wa chadema kortini kwa kubaka mwanafunzi na kumsababishia mimba

    Ndio wale wale wanaoambiwa nyeusi ni nyeupe, ingawa wao wanaona kuwa ni nyeusi lakini wao wanakubali na kuamini ni nyeupe.
  5. N

    Tabia hii haifai.

    hii kweli ipo,
  6. N

    why idadi ya watu wanaokota makopo machafu na safi dar inaongezeka

    DSM ina watu takribani milioni tano (5m), Jee, waokota makopo wanafika angalau elfu mbili? Pia ni vyema ungalifanya uchunguzi kujua hii kazi ina maslahi au la, kwa sababu kuna watu DSM wanasafisha karo za vyoo. Cha kuangalia ni maslahi zaidi. Aidha kuna matajiri wamenunua magari kwa ajili ya...
Back
Top Bottom