Jifunze uvumilivu pale unapokosa, na kuwa mvumilivu pia unapopata ulichokuwa ukikitafuta kwa muda mrefu.
Maana kila kitu kina Muda, shida na raha zote upita hakuna kinachodumu milele tofauti na aliyetuumba.
#HiiKamaUpepo #realmsafi
VINGUNGUTI -DAR MACHINJIO MACHAFU
KULIKO YOTE TANZANIA
Machinjio hayana vyoo, serikali naomba mkalitizame ili maana
machinjio ni achafu kuliko kawaida.
Uchafuzi wa mazingira, watu wanakojoa ovyo pamoja na kujisaidia ovyo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.