Habari wana JF.
Niko hapa kutafuta mwenza.
Mimi ni nwanamke.
Im in my early 30's ,mkristo nina mtoto mmoja. Itapendeza kumpata mkristo pia na umri kuanzia miaka 34, na uwe na kipato halali.Ikiwa una nia karibu sana PM iko wazi.
Naomba kuwasilisha.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.