Recent content by Nasibu hemedi

  1. N

    SoC02 Nini kifanyike kwa viongozi wetu tupate timu bora ya taifa letu la Tanzania?

    Ukumbuke nimesema ni umawazo yangu na sio kuwa nimesema ndio ilivyo kwahii wewe kama wewe unapoona labda mimi nimeandika hovyo basi ni nafasi na wewe ukaeleza yaliyo sahihi ili usaidie nasio kukosoa lengo ni kufabikiwa sasa ukikosoa haliakua wewe hukutoa wazo lolote unakuwa bado hujajenga
  2. N

    SoC02 Mwanga wa Taifa letu la Tanzania

    Asante sana tupo pamoja ndugu yangu
  3. N

    SoC02 Nini kifanyike kwa viongozi wetu tupate timu bora ya taifa letu la Tanzania?

    Kwa jina naitwa Ramadhani Selemani Ramadhani ni kijana wa kitanzania nina umri wa miaka 28 kwa sasa leo ningependa nizungumzie mambo mbalimbali yanayo weza kufanyika ilimradi kuweza kufanikiwa kufika mbali katika timu yetu ya taifa. Mpira ni mchezo wenye washabiki wengi sana duniani kote na...
  4. N

    SoC02 Mwanamke aliye bora kwa mumewe anatakiwa awe na sifa gani?

    Kwa majina naitwwa Ramadhani Selemani Ramadhani ni kijana wa Kitanzania leo ningependa kuzungumzia sifa za mwanamke alio bora kwa mumewe. Wote tunafahamu kuwa duniani kila kiumbe hai mungu amekiumba katika jinsia mbili ambayo ni jinsia ya kike na jinsia ya kiume. Ninapozungumzia mwanamke bora...
  5. N

    SoC02 Mwanga wa Taifa letu la Tanzania

    Mimi ni kijana wa Tanzania mwenye umri wa miaka 28. Nimeona leo nizungumzie masuala yanayousu taifa letu au nchi yetu ya Tanzania kwa utafiti wangu nilioufanya ndani ya miaka 6 kwenye mikoa ipatao 7 ndani ya nchi yangu ya Tanzania. Ninaposema mwanga wa Taifa kuna baadhi wa watu wanaweza...
  6. N

    SoC02 Uchawi na Ushirikiana unavyoathiri maendeleo ya taifa

    Kwa majina naitwa ramadhani selemani ramadhani ni kijana wa kitanzania. Leo nimependa kuzungumzia maswala ya imani ya kishirikina na uchawi zinavyo athiri maendeleo ya nchi kwa ujumla. Katika mchi kuna makabila mbalimbali zaidi ya 150 kila kabila lina utamaduni wake na imani zake. Katika...
  7. N

    SoC02 Mapambano ya maisha ya vijana na elimu

    Ndio inawezekana na nitakuwa pamoja kwenye kila chapisho
  8. N

    SoC02 Mapambano ya maisha ya vijana na elimu

    Mimi ni kijana wa kitanzania nimezaliwa mkoa wa kilima njaro wilaya ya same kwenye kijiji cha kisiwani wilayani same. Mm nikijana mwenye umri wa miaka 30 kwa sasa. Nililelewa na mzazi moja ambae ni mama pekee. Kwa majina yangu kamili naitwa Ramadhani selemani nilizaliwa mwaka 1992 mwezi wa tano...
  9. N

    SoC02 Nchi ya Jamhuri

    Nchi ya Jamhuri ilikuwa inaongozwa na katiba ya vyama vingi, katiba hio ilikuwa inaruhusu kila chama kugombea nafasi mbalimbali za uongozi katika nyanja mbalimbali za uongozi ili kurahisisha maendeleo ya nchi hiyo ya Jamhuri Ila ifikapo mwaka 1980 kulikuwa na migogoro mingi sana kati ya jamii...
Back
Top Bottom