Pamoja na ukweli kwamba una machungu ya kufiwa na lile shetani lenu la Chato, lkn jitahidi uwe na subra. Wewe sio wa kwanza kuachwa Mjane. Kwa mitusi hiyo very possible kuwa ushapitia CHADEMA
Hujui wewe. Ngosha amekufa akiacha makumi ya waislam wako mahabusu kwa kesi za ugaidi. Samia kazifuta baadhi tu lakini bado mpaka leo kuna Mashekh magerezani waliowekwa ndani na Magufuli. Wadogo zangu wawili waliachiwa mwaka 2023 kutoka Gereza za Ruanda walikokaa kwa miaka mitatu.
Uzuri ni kwamba CHADEMA mnamfatilia Samia kwa kila hatua yake na kila asemalo kuliko hata CCM wenyewe. Binafsi taarifa za Samia huzipata kupitia CHADEMA
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.