Una nongwa wewe.
Nishakubaliana na wewe kwamba hawa mastaa ujio wao hauna faida kwa vijana wetu. Tuungane kupinga wasije tena. Sasa bado nini ambacho hujaelewa hapo! Au unapenda ligi tu?
Uzuri mmoja hautukani, yawezekana wewe kweli sio CDM
Hizo kelele za chura tu, lkn ht nyie mnajua kabisa nguvu ya mastaa kuinua vipaji vya vijana wetu. Sasa nyie zuieni vijana wenu wabaki kuandaa maandamano.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.