Issue si lowassa kwenda ikulu, kwani huyo aliyepelekwa kashinda kwa haki? Mbona mnaguna mambo yakitaka kuwekwa wazi, tutulie tuone kama kaonewa au anadanganya, kwani shida iko wapi? We endelea na maisha yako but mwisho wa siku tujue ukweli
Naomba nikujibu kuwa uko sawa in a way but si vitamin B17 pekee unayo hitaji! Kuna matumizi ya warm lemon water and a lot of other things kama blackstrap molases, wheat grass juice na kadhalika ili kutibu cancer but so far uko sawa kiasi
Bado hata humo team Lowassa kunaweza kuwa na waliotumwa wapo ili kumvurugia whatever comes from the horse mouth ndo cha kukishikia bango maana wapo wanaotumiwa na wapinzani wakijiita team Lowassa ili kumchafua
Yaani umeona eeh? Pamoja na ku mwambia Red Giant kuwa waliotumia chemo pekee walikufa na huyu aliye tumia chemo na majani ndo yuko vizuri haoni hata u tofauti mi nasema kweli tungejua mapema hata chemo asingepewa mgonjwa wetu maana nyie madoctor hata kumweleza mgonjwa how seriously affected...
@Rg forever labda nikupe mlolongo wa namna mama alifanya ni kuwa hiyo saa 11 asubuhi alikuwa anampa blackstrapmolases iliyochanganywa na bicarbonate of soda then after 1hr anampa warm lemon water and then after half an hour anampa juice yenye mchanganyiko wa wheat grass, stafeli, beetroot...
Unajua mm najiuliza sana hawa madaktari siku hizi tiba chakula hawataki kabisa au hawakufundishwa? gorgeousmimi labda nashindwa kuelewa au la syllabus zimebadilika sana au ni sisi tu natumia tiba ambazo ziko outdated nashindwa kujua ila ni kweli vyakula haiponyeshi Dr? Maana mm nakumbuka hata...
Probs ya Dr's mmeamua ku ignore kabisa food science ilhali Mnaelewa kuw there is some truth in them sasa hizo medical deadly ndio what put you thru skull na ndo maana mkiugua nyie ni dawa za pain killers lakini ma pharmacist wajanja hata watt wao wanawatibu by natural foods
Duh kazi ya predinisolone ni kunyong'onyeza kinga za mwili? Ooo tate nane? My dad and son wana asthma na ndo dawa yao😣😣😣 sasa why kunyong'onyezwa😧😧😧 mwe nna kazi sana ila tutapambana kibishi tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.