Recent content by Naoo

  1. N

    Natafuta mume, nina umri wa miaka 25

    Ninahitaji mtu ambaye Mungu akijalia ataweza kuwa mume wangu.. Kuhusu Mimi; nina umri wa miaka 25 naishi Dar ni mjasiriamali sina mtoto/watoto Elimu ni certificate. Anayehitajika ni mtu ambaye kutokana na kuwasiliana tukaendana mtazamo, na nia ikawa moja .
Back
Top Bottom