Sawa andika ndugu zako uzuri kila mtu anajua vile walivyo ndugu upande wa baba haswa hao mashangazi
Kuteseka ni watoto wako ndio watateseka
By the way wewe ni mwanaume mpumbavu unaeacha kuandika mali za watoto wako kwa majina yao
Ndugu zako hawana uchungu na watoto wako huo ndio ukweli
TukisemA backup ni watu tumewaweka kwenye friend zone yaani hatuwaambi hatuwataki wala kuwataka
Akipatikana wa malengo na tukafika lengo lenyewe backup wa nini tena
Mrejesho mpk sasa ni bila bila hatusemeshani ila yeye yuko active kwenye kusubiri nachopost kisha aweke like ku comments hataki basi na mimi nahitaji kuwa na picha ambazo najua nikipost lazima ata like 😂😂😂
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.