Recent content by Nampendamilele

  1. N

    Sajili mali kwa jina la mama au ndugu yako anaejitambua, hutapatwa na stress yoyote kuhusu mgawanyo wa mali na mwenzako mliekutana mkiwa na meno 32

    Sawa andika ndugu zako uzuri kila mtu anajua vile walivyo ndugu upande wa baba haswa hao mashangazi Kuteseka ni watoto wako ndio watateseka By the way wewe ni mwanaume mpumbavu unaeacha kuandika mali za watoto wako kwa majina yao Ndugu zako hawana uchungu na watoto wako huo ndio ukweli
  2. N

    Vita ya kunyamaziana kwenye mahusiano

    Kila penzi sio la hivyo
  3. N

    Vita ya kunyamaziana kwenye mahusiano

    TukisemA backup ni watu tumewaweka kwenye friend zone yaani hatuwaambi hatuwataki wala kuwataka Akipatikana wa malengo na tukafika lengo lenyewe backup wa nini tena
  4. N

    Vita ya kunyamaziana kwenye mahusiano

    Uvumilivu umemshinda ameamua ku comment kwenye picha yangu tangu jana sijamjibu nawaza nisije kumjibu akanibluetick iniume 😀
  5. N

    Vita ya kunyamaziana kwenye mahusiano

    Mrejesho mpk sasa ni bila bila hatusemeshani ila yeye yuko active kwenye kusubiri nachopost kisha aweke like ku comments hataki basi na mimi nahitaji kuwa na picha ambazo najua nikipost lazima ata like 😂😂😂
  6. N

    Vita ya kunyamaziana kwenye mahusiano

    Maamuzi yangu ni ku ngoja anitafute nimejipa na muda wa kuwa single ikitimia miezi3 naanza upya
  7. N

    Vita ya kunyamaziana kwenye mahusiano

    Buyu buyu mkuu mpk Leo no contact
  8. N

    Vita ya kunyamaziana kwenye mahusiano

    Kiburi kipo update nishazoea kuview status tu
  9. N

    Vita ya kunyamaziana kwenye mahusiano

    Backup huwa hakosekani lakini mimi nataka wa malengo
  10. N

    Vita ya kunyamaziana kwenye mahusiano

    Kuuza nini wewe kenge
Back
Top Bottom