Recent content by najos

  1. N

    Hoja za kidini "zateka" maoni ya katiba mpya !

    Katiba iwe wazi tu. Isimnyime mtanzania haki ya kuabudu kulingana na mwongozo wa Dini yake. kwani kuna dini ambayo haina mwongozo??
  2. N

    Movement: Tunataka Katiba Mpya Tanzania

    Katiba mpya ni lazima iwe na kipengele cha kupitia(review) mikataba ya serikali upya kila baada ya miaka mitano. kama mkataba haumnufaishi mtanzania uvunjwe na kuangaliwa upya.
Back
Top Bottom