Recent content by Naiv1

  1. N

    Wana Gangilonga mpo?

    Nilikutangulia mwaka mmoja mlandege nilimaliza 1984 enzi za MALIPA, kulikuwa na mwalimu enzi hizo anaitwa MAWABU sababu alikosea kuandika MAWABU badala ya MAJAWABU. Nikaingia Highland 1985-1988.
Back
Top Bottom