Oral niliifanya tu vizuri,na mpaka sasa status inasoma selected for oral interview both web na app, wasiwasi wangu ni kuwa isije ikawa kwa vile nimepata hii ya contract wakaninyima zile za permanent
Habari wakuu,naomba kuuliza hivi ikiwa mtu umefanya interview za post ambazo zilikuwa za mikataba na nyingine za permanent halafu placement zikatoka ukawa umepata ile ya mkataba vp kuhusu placement za permanent bado nitaitwa au hapo imekaaje maana Kuna placement za permanent zilitoka baada ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.