Recent content by Nairah22

  1. N

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Oral niliifanya tu vizuri,na mpaka sasa status inasoma selected for oral interview both web na app, wasiwasi wangu ni kuwa isije ikawa kwa vile nimepata hii ya contract wakaninyima zile za permanent
  2. N

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Habari wakuu,naomba kuuliza hivi ikiwa mtu umefanya interview za post ambazo zilikuwa za mikataba na nyingine za permanent halafu placement zikatoka ukawa umepata ile ya mkataba vp kuhusu placement za permanent bado nitaitwa au hapo imekaaje maana Kuna placement za permanent zilitoka baada ya...
Back
Top Bottom