Recent content by Naibili

  1. Naibili

    Kwa wale waliopunguzwa kazini (USAID na wengine)

    Nnafikiri baada ya miezi 18 bila kazi utalipwa
  2. Naibili

    Kwa wale waliopunguzwa kazini (USAID na wengine)

    Ngeli hiyo mkuu, nitafsirie basi
  3. Naibili

    Kwa wale waliopunguzwa kazini (USAID na wengine)

    Ntaanza kuandika mkuu ili next time niweze kukujibu
  4. Naibili

    Kwa wale waliopunguzwa kazini (USAID na wengine)

    Endelea kuambiwa kila kitu
  5. Naibili

    Kwa wale waliopunguzwa kazini (USAID na wengine)

    Mie sijawahi kwenda mkoani kununua nnaagiza, Ishi na watu vizuri ndg, Mimi nina marafiki wengi tu wanasafiri kila siku, wengine safari za kazi, wengine binafsi, nina marafiki wengi tu madereva wa maroli Ishi na watu vizuri
  6. Naibili

    Kwa wale waliopunguzwa kazini (USAID na wengine)

    Mdogo wangu, amka usingizini acha kujipa moyo, ofisi zimefungwa hiyo ndio fact, rudi kwenye uhalisia, kubali hali yako, acha kujificha kwenye keyboard
  7. Naibili

    Kwa wale waliopunguzwa kazini (USAID na wengine)

    Makosa ni yetu, tumewaachia wanasiasa waamue kwa niaba yetu
  8. Naibili

    Kwa wale waliopunguzwa kazini (USAID na wengine)

    Bora ale kona, kuliko kukitembeza
  9. Naibili

    Kwa wale waliopunguzwa kazini (USAID na wengine)

    Ni kweli, discipline ya hali ya juu ndo inahitajika, ukicheza kidogo umeyumba
Back
Top Bottom