Recent content by nabii7y7

  1. nabii7y7

    JamiiForums Tanzania SoC03 Benki za kilimo ziboreshe huduma kwa wakulima wadogo wadogo vijijini

    UTANGULIZI Kwa dunia ya sasa ambayo imepiga hatua sana katika nyanja mbalimbali za kiuchumi na kuongeza ushindani katika uzalishaji wa bidhaa muhimu za binadamu na wanyama wengineo ili kukidhi uhitaji unaoongezeka kila siku na kila kona ya Dunia, hatuwezi kusahau umuhimu na mchango wa sekta ya...
  2. nabii7y7

    JamiiForums Tanzania SoC03 Matokeo ya kusahaulika kwa maslahi ya jamii asilia katika mikataba ya uchimbaji madini

    UTANGULIZI Jamii asilila ni kikundi au mkusanyiko wa watu wanaoishi kwa pamoja katika eneo la kijiografia moja wakitambulika na kuunganishwa na historia na utamaduni unaofanana wakiishi katika misingi na utaratibu waliojiwekea, mfano wa jamii ya watu asilia Tanzania ni pamoja na Wamasai...
  3. nabii7y7

    JamiiForums Tanzania SoC03 Sauti ya Mwananchi ndani ya Bunge

    UTANGULIZI Bunge ni miongoni mwa mhimili katika mihimilimikuu mitatu ya serikali baada ya serikali na mahakama na chombo kinachofanya kazi ya kutunga sheria pamoja na kuisimamia serikali kiutendaji. Kama tunavyofahamu kuwa bunge la jamuhuri ya muungano ya Tanzania linajumuisha wabunge wa...
Back
Top Bottom