Recent content by naahjay

  1. naahjay

    JamiiForums Tanzania Nimepata Matatizo ya Kiafya baada ya kujifungua

    Asante nitalifanyia kazi
  2. naahjay

    JamiiForums Tanzania Nimepata Matatizo ya Kiafya baada ya kujifungua

    Hapana bado ila Mungu akijalia nitaenda
  3. naahjay

    JamiiForums Tanzania Nimepata Matatizo ya Kiafya baada ya kujifungua

    Au naweza kumconsult online
  4. naahjay

    JamiiForums Tanzania Nimepata Matatizo ya Kiafya baada ya kujifungua

    Sipo dar labda niende benjamin mkapa dodoma
  5. naahjay

    JamiiForums Tanzania Nimepata Matatizo ya Kiafya baada ya kujifungua

    Sipo dar
  6. naahjay

    JamiiForums Tanzania Nimepata Matatizo ya Kiafya baada ya kujifungua

    Actually sio mnene sana mwili wakawaida nashukuru sasa kama ni hiyo na dawa nnazotumia za presha tu ndio zitanisaidia au
  7. naahjay

    JamiiForums Tanzania Nimepata Matatizo ya Kiafya baada ya kujifungua

    Asante sana umenipa ushauri mzuri ambao sikuupata kwenye mahospitali yote niliyozunguka ubarikiwe sana
  8. naahjay

    JamiiForums Tanzania Nimepata Matatizo ya Kiafya baada ya kujifungua

    Mbona umeshangaa
  9. naahjay

    JamiiForums Tanzania Nimepata Matatizo ya Kiafya baada ya kujifungua

    Asante
  10. naahjay

    JamiiForums Tanzania Nimepata Matatizo ya Kiafya baada ya kujifungua

    Kweli kabisa ndugu namuomba Mungu nikiimarika niende huko jkci
  11. naahjay

    JamiiForums Tanzania Nimepata Matatizo ya Kiafya baada ya kujifungua

    Dah asante ngoja nizicontrol hizi stress
  12. naahjay

    JamiiForums Tanzania Nimepata Matatizo ya Kiafya baada ya kujifungua

    Asante sana umenielezea vizuri na kunipa moyo nashukuru japo hadi sasa sijui natibu nini ni presha au moyo
  13. naahjay

    JamiiForums Tanzania Nimepata Matatizo ya Kiafya baada ya kujifungua

    Thanks
  14. naahjay

    JamiiForums Tanzania Nimepata Matatizo ya Kiafya baada ya kujifungua

    Niliwaza Jakaya kikwete pale
  15. naahjay

    JamiiForums Tanzania Nimepata Matatizo ya Kiafya baada ya kujifungua

    Nilipewa za hpylory baada yakuwa postive nikamaliza nkapewa clopidogrel ya moyo nayo natumia na dawa za presha now nilipewa dawa inaitwa isosobide ndio maumivu ya moyo yakaisha imebaki kama kavibration
Back
Top Bottom