Recent content by Mzungu Twiga

  1. M

    Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    If you have nukes no one can touch you,Marekani alipeleka meli kubwa na nyambizi kubwa na madege ya kisasa huko Korea but aliishia kupiga kelele tu akarudi kwake
  2. M

    Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Ni ngumu Kwa kuangamiza wasio na hatia but ni rahisi kumpiga adui pekeyake haichukui hata dk 15
  3. M

    Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Wananchi wakiondoka wote kinachofata ni makombora mazito ndio maana anawazuia na kuwatumia kama ngao. Huyu comedian Hana akili
  4. M

    Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    We Kwa moto ule utabaki utakuwa punguani , kwenye vita ukizidiwa ku sarenda ni muhimu
  5. M

    Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Vip huko Leo usiku mashambulizi yanaanza mda Gani?
  6. M

    Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Pro NATOwametutukana Sana Putin kaamua kuweka heshima wote wamekimbia
Back
Top Bottom