duuu ila kweli vijana wamepanik hawalali wala kufanya kazi kila wakati tcu kwa hali hii vijana wengi watenda mirembe jaman tcu wakoen vijana hawa tangazen bas post mtu ajue kaula au anaenda shamba.
sisi walimu tabora wilaya ya sikonge idara sec na msingi tunatafuta walimu kudilishana tuende moja mikoa hii arusha,kilimanjaro,tanga na manyara contuct0784289435
jaman kombi za arts hasijachaguliwa?mana niliomba ila naona ya sayansi na lugha nisaidieni jaman nijue nimepangiwa wapi na kombi gan namba yangu ni P4348.0541,MZUNGU MEIVUKIE nategemea majibu toka kwenu
za leo ndugu zangu naomben mnisaidie niliomba kujiunga na diploma ya ualimu sasa link zao zimenichanganya nisaidien kutafuta jina MZUNGU MEIVUKIE no S0977.0043.2007
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.