Recent content by Mzinguzi2

  1. M

    Nani wa kuwasemea TAKUKURU?

    TAKUKURU wana majukumu makubwa ya kusimamia mamlaka nyingine kuona haki ikitendeka. Wamekuwa mstari wa mbele kusimamia haki za wengine ilihali wao hawana chombo cha kusimamia maslahi yao. Serikali imetangaza kupandisha madaraja kwa watumishi wa umma, kila idara watumishi wamepandishwa...
  2. M

    TAKUKURU Tanga, vipi kesi inapomaliza zaidi ya mwaka?

    Sasa zitamaliza miaka 3 , wao wenyewe wametelekezwa na serikali, viongozi wao wamejazana mapesa , wakujitoa mhanga wametelekezwa , sasa watapumzika kupambana na Rushwa sasa ni zamu ya mkurugenzi mkuu na viongozi pekee
Back
Top Bottom