TAKUKURU wana majukumu makubwa ya kusimamia mamlaka nyingine kuona haki ikitendeka.
Wamekuwa mstari wa mbele kusimamia haki za wengine ilihali wao hawana chombo cha kusimamia maslahi yao.
Serikali imetangaza kupandisha madaraja kwa watumishi wa umma, kila idara watumishi wamepandishwa...
Sasa zitamaliza miaka 3 , wao wenyewe wametelekezwa na serikali, viongozi wao wamejazana mapesa , wakujitoa mhanga wametelekezwa , sasa watapumzika kupambana na Rushwa sasa ni zamu ya mkurugenzi mkuu na viongozi pekee
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.