Mahakama ya kadhi ni kwa ajili ya WAISLAM TU.. asiye muumini Wa dini ya kislam mahakama ya kadhi haimuhusu..
suala la kodi ..wote tunalipa kodi ni haki yetu kupewa huduma tunayohitaji na kugharamikiwa na kodi tulipazo kwa ajili ya kutatua matatizo yanapojitokeza iwe ni masuala ya Talaka...
BAKWATA ni taasisi iliyoundwa kwa malengo maalum ...moja ya malengo hayo ni. Kuudhibiti na kukwamisha maendeleo ya waislam...
tunawajua sana wanayezuia mahakama ya kadhi isipitishwe ...upande mmoja ni bakwata kwa vile wana tuhuma ya kujinufaisha na Mali zilizotolewa wakfu .kama vile nyumba'...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.