Kwahiyo na wewe miaka yote uliyokuwa unatuwakilisha huko Bungeni ulikuwa unatutapeli tu ili tukuchague ilihali unajua kuwa kumbe Chadema ni kama kampuni tu ya mtu binafsi na familia yake ???!
Mimi nadhani hii maneno yote mbofu mbofu kutoka Chadema ni kwa sababu ya ile rumor kwamba kuna mtu...
2040??!
Kama alivyofanyaga Che Nkapa baada ya kumaliza ngwe zake mbili !
Akasema anajuta katika baadhi ya Ubinafsishaji alioufanya !
Lakini sikumbuki kama aligusia kujuta kwenye mikataba ya Madini ya Dhahabu !🙄🙈🙄!
Uwizi kama ni kweli na upigaji madili kama ni kweli mutu wa hivyo kama ni kweli hafai hata kuwa katibu kata 😳
Kama ni kweli lakini 🙄🙌
Ifike mahali tuseme sasa basi kwa wapiga dili !
Enough is enough !!
Umemaliza kila kitu ila ndo hivyo tena !
Wanasemaga business as Usual !
Na wengine wataongezea kwamba unawaonea wivu ! 🙄
Wale wenye mawazo mazuri na productive kwenye system huwa wanaonekana ni wasaliti !
Watawindwa mpaka wanyoroshwe !🙄
Hao uliowataja hata kuzungumza Bungeni tu wanaogopa !
Wataanzia wapi kumpinga Mwenyekiti ambaye ndio Mkuu wa Nchi na ambaye ndiye Amiri Jeshi Mkuu ??!
Naona kwa uwanja wa Makapa itabidi uende ukatimize ahadi yako muda ukifika , no way !
Watu wanaogopa hata vivuli vyao ndio wamtingishe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.