Anayo nguvu. Watu wanamfuga hapo. Mwaka jana mmoja aligonga fensi naye akaendelea hivyo hadi ikabomoka naye akatoroka shambani huku akiwashambulia wakulima. Basi kwa hayo yaliyotokea naona ana nguvu.
Nimeisha fikiria majina mengi lakini yale kwenye orodha yako tayari yamechukuliwa. Hata simba na chui haiwezekani kwani zipo tayari. Labda fisi ila mimi mwenyewe simpendi. Vipi nikiweka Kitimoto Extra Lager?
Asante sana, lakini nakaa mbali na rombo basi vipi gharama ya usafirishaji? Tena niliomba dokezo jinsi ya kupata mkopo wa kuanzisha kampuni ndogo. Wateja tayari wapo.
Nataka kuanzisha biashara ya kupika bia. Kwa miaka 2 hivi nimepika na kuwauzia rafiki na majirani huku nyumbani, nao wanasema bia ninayofanya ni nzuri na yenye ladha bora.
Nimetayarisha matangazo ya hiyo bia mpya ambayo mnaweza kuona (nimeambatisha kama attachementi). Lakini sasa nimepata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.