Recent content by Mzee nazi

  1. Mzee nazi

    Nisaidieni kuokoa ndoa yangu jamani

    Poa mkuu, nitafanya hivyo nijipime
  2. Mzee nazi

    Nisaidieni kuokoa ndoa yangu jamani

    Mwanamke hataki, anasema namchosha tu.
  3. Mzee nazi

    Nisaidieni kuokoa ndoa yangu jamani

    Asante sana mkuu, tutafute pesa
  4. Mzee nazi

    Nisaidieni kuokoa ndoa yangu jamani

    Ansha amsha hana kabisa, nimejaribu kumwambia lakini bado ni shida Sina kisukari, nyete nimewahi piga. Zamani ilikuwa uhakika
  5. Mzee nazi

    Nisaidieni kuokoa ndoa yangu jamani

    Sijazaliwa nalo mkuu
  6. Mzee nazi

    Nisaidieni kuokoa ndoa yangu jamani

    Asa Asante kwa ushauri mzuri
  7. Mzee nazi

    Nisaidieni kuokoa ndoa yangu jamani

    Nimejitahidi kufanya mazoezi ya kukimbia bila mafànikio Asante mkuu
  8. Mzee nazi

    Nisaidieni kuokoa ndoa yangu jamani

    Ni kweli huwa nakuwa kama na woga fulani kabla ya tendo, na pia mke wangu sio mtu anayeshughulika, nisiposhughulika mimi yeye haangaiki, kama ukipata namba ya babu huyo plz
  9. Mzee nazi

    Nisaidieni kuokoa ndoa yangu jamani

    Asante sana kwa ushauri huu, japo kuwa kwakweli hanielewi nitajitahidi kumweleza zaidi
Back
Top Bottom