Asalam aleykum,
Ebana hii scandal ya hawa waheshimiwa inanitatiza sana maana inaonekana ni mambo ya kisiasa sana na hakuna vidhibitisho vya kutosha. Mi namuomba bwana mpakanjia asikubali kupelekeshwa na baadhi ya watu ambao wanajaribu kumtumia wakijua kabisa udhaifu wake uko wapi, angekuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.