Recent content by Mzazi waleo

  1. M

    Chuo cha TIA kwanini mnawatia wazazi na wanafunzi hasara?

    Unafungua kesi serikalini kuidai serikali...... kwa tZ hiii sijui
  2. M

    Chuo cha TIA kwanini mnawatia wazazi na wanafunzi hasara?

    walifata process zote kwenye system wanatokea kidato cha nne
  3. M

    Chuo cha TIA kwanini mnawatia wazazi na wanafunzi hasara?

    Elewa tu kwamba aliomba kusoma degree wakamkubalia na hela akalipa 60% ya ada ya mwaka na test one na two wameshafanya then ndo wanasema hawakwalifai degree...
  4. M

    Chuo cha TIA kwanini mnawatia wazazi na wanafunzi hasara?

    Hakuna disco wala nini wanadai waliwasajili kimakosa sasa warudishe hela na muda waliowapotezea watoto
  5. M

    Chuo cha TIA kwanini mnawatia wazazi na wanafunzi hasara?

    Ndio, aliomba kusoma degree wakamkubalia akaanza chuo mwaka jana October Ada imelipwa 60% sasa wanasema hawakwalifai digree issue ni kwanini waliwapokea na wameshafanya test one &2.....!
  6. M

    Chuo cha TIA kwanini mnawatia wazazi na wanafunzi hasara?

    Kuna baadhi ya wanafunzi wa Bachelor's walichaguliwa kujiunga na chuo mwaka jana wakapokelewa chuoni na wazazi wakalazimishwa kulipa 60% ya ada halafu sasa hivi wazazi wanapigiwa simu na kuambiwa watoto wao hawana sifa za kuendelea na masomo, huo ni uhuni chuo kimefanya na haijulikani kama fedha...
Back
Top Bottom