Recent content by MzawaTZ

  1. M

    JamiiForums Tanzania Msemaji wa Serikali akiri ndege mpya ya Bombardier Q 400-Dash 8 kushikiliwa nchini Canada. Awatupia lawama wanasiasa...

    VITA YA UCHUMI BAINA YA TANZANIA NA CANADA IMEKOLEA, UKITAKA KUSHINDA VITA PIGANA VITA!! Mtu mmoja mwenye akili aliwahi kusema kuwa, "Ukitaka kushinda Vita, shika Bunduki pigana Vita". Kwamba huwezi kuishinda Vita ukiwa kitandani umelala fofofo!! Huwezi, huwezi kamwe!! Vita ya Kiuchumi baina...
  2. M

    JamiiForums Tanzania ACACIA wafunguka kuhusu kudai serikali Sh. Trilioni 4

    Ila ni vyema tukasoma habari kamili kupitia link iliotolewa na mtoa mada tutaelewa pia....!!!!
  3. M

    JamiiForums Tanzania Tundu Lissu(CHADEMA): Ndege ya ATCL iliyopaswa kuwasili nchini mwezi Julai, imekamatwa Canada na watu wanaoidai Tanzania

    Mkuu..! Kosa kubwa tunalofanya ni mihemko yetu ya kisiasa na kuiweka Tanzania yetu pembeni., Na cha kushangaza zaidi uzi umeeleweka lakini zipo mada zinaongezwa kujaribu kubadilisha lengo la uzi mzima mfano kwa uliesoma kwa makini hakuna hata kifungu kinasema serikari haina kosa.. Chakushangaza...
  4. M

    JamiiForums Tanzania Tundu Lissu(CHADEMA): Ndege ya ATCL iliyopaswa kuwasili nchini mwezi Julai, imekamatwa Canada na watu wanaoidai Tanzania

    Tarehe 24.3.2017 katika hotel ya Golden Tulip alikutana Na wakandarasi waliokuwa wakifanya kazi katika kampuni iliyosimamishwa kwa kukosa weledi katika kazi, Miongoni mwa wahandisi aliokutana nao ni wafuatao 1. Allan Watt 2. Andries Liebenberg 3.Mark Roper 4. Rab Bell, Wakati lissu akiwa yeye...
Back
Top Bottom