Wakuu nimepata taarifa za ndani ya kampuni ya uchimbaji wa Tanzanite, Tanzaniteone iliyopo Mererani kuwa watu toka idara ya uhamiaji wameenda kwa uchunguzi wa vibali vya wanaojidai ni ma expert. Taarifa zinasema wamekuta wengi wao hawana vibali na hawana sifa kufanya kazi nchini.
Wengi wao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.