Faizafoxy
Nataka kujua tu kama aya hii ya Quran inaukweli wowote ndani yake au haina ukweli wowote kulingana na uana zuoni wako.
Wakati huo naomba pia utoe ufafanuzi wa aya hii
( إِنَّ الَّذِينَ آمَنُوا وَالَّذِينَ هَادُوا وَالصَّابِئُونَ وَالنَّصَارَىٰ مَنْ آمَنَ بِاللَّهِ وَالْيَوْمِ...
Nimetoa hadithi acha kukurupuka kama hujui kaa kimya.
Ungekuwa msomi ungeitafsiri hiyo hadhithi kwamba inamapungufu haya ama la au inalenga hili au la sio kubisha bisha....... Unahatibu jukwaa hapa
Kumekuwa na utitiri wa vitabu vya kiislam vinavyoandikwa na madhehebu mbali mbali ya kiislam na wakiitikadi wanatoa kwenye hadhithi za mtume.je mnachombo kimoja kinachoangalia usahihi wa vitabu hivyo,haswa yaliyoandikwa ndani? Kwasababu wasio waislam wakisoma na kunukuu hapa mnasema wanakashifu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.