Hahahaha, mbona miimi nikiangalia email ni ya Mwalimu, au mimi naona tofaut? Naona kwenye attachment jamaa kafuta namba, jina na email yake, kaacha jina la Mwalimu na email ya mwalinu
Wapo wa walimu wa namna hiyo kweli, lakin kama anafanya haya atakuwa hawatenndei haki. Wanafunzi katika chuo chochote ni wateja, sion sababu ya kuwaburuza
Wanafunzi wamekuwa wakimlalamikia juu ya ufundishaji wake wa somo la TEHAMA kuwa ni msumbufu. Nikiongea na mwanafunzi ambae alikataa kutaja jina lake na level (Mwaka wa masomo) alisema Mwakalonge anatufundisha somo la TEHAMA(information and communication Technology).
Katika muhula huu wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.