Recent content by myhp

  1. M

    Uamuzi wa Rais kwa watumishi wa umma

    Je, uamuzi wa Mh. Rais katika rufaa za watumishi wa umma unaweza kuombewa mapitio (review) kwenye ofisi hiyo kutokana na Mwajiri kushindwa kupeleka baadhi ya vielelezo vya ushahidi mwanzoni vilipohitajika? Naomba msaada katika hilo.
  2. M

    Uamuzi wa Rais kwa watumishi wa umma

    Je, Mwajiri anaweza kuomba Mapitio (review) ya uamuzi wa Mh. Rais kwa Mh. Rais huyo huyo kwa kutaka kuongeza vielelezo ambavyo hakuviwasilisha kabla ya uamuzi, ambapo iliamriwa na Mh. Rais kwamba mtumishi arejeshwe kazini na kulipwa stahili zake zote?
Back
Top Bottom