Je, uamuzi wa Mh. Rais katika rufaa za watumishi wa umma unaweza kuombewa mapitio (review) kwenye ofisi hiyo kutokana na Mwajiri kushindwa kupeleka baadhi ya vielelezo vya ushahidi mwanzoni vilipohitajika?
Naomba msaada katika hilo.
Je, Mwajiri anaweza kuomba Mapitio (review) ya uamuzi wa Mh. Rais kwa Mh. Rais huyo huyo kwa kutaka kuongeza vielelezo ambavyo hakuviwasilisha kabla ya uamuzi, ambapo iliamriwa na Mh. Rais kwamba mtumishi arejeshwe kazini na kulipwa stahili zake zote?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.