Nadhani ni vizuri watanzania tukajifunza kujibu hoja kwa hoja, wakati tunataarifiwa juu ya kuachiwa kwa ndege yetu of which ni jambo la furaha kwetu sote, swali la kujiuliza mbona hatukuwa tumepewa taarifa juu ya kukamatwa /kuzuiwa kwake kabla na wasemaji hawa hawa wanaotoa habari za kuachiwa...
Sifongo umesema kweli kabisa, Rais asitarajie umoja wa kitaifa kwa kuwatenga wale wote wasiokuwa upande wake, na wala haitokaa itokee kwamba watu wote watakuwa na msimamo mmoja na kwa maana hiyo wote watakuwa chama tawala, lazima angalie ni kwa namna gani anaweza kupata saport ya wale wasiokuwa...
Tunaweza kujipa matumaini kwamba hawa jamaa wachochezi, wanamchukia Rais wetu kwa jinsi anavyopambana na ufisadi, Rushwa na maovu mengine, lakini kuna umuhimu sana wa kuyafanyia kazi haya.Tanzania sio kisiwa kiasi kwamba tunaweza tukasavive wenyewe, ni lazima ulimwengu uwe pamoja na
Unadhani...
Kwako wewe kwa waziri na mkuu wa mkoa kuanza kutoa shutuma kwa kijana juu ya dhana ya kujiteka kabla ya taarifa ya uchunguzi unaona ni professional attitudes? Taarifa ya RPC wa Iringa na Kamanda wa Dar es salaam juu ya mhusika mmoja kutofautiana unaona ni sahihi ? kwako wewe report ipi ni sahihi...
Hii ni njia nzuri ya kudai haki pasina kuleta vurugu, mahakama ni chombo huru kwa hiyo kitatoa mwongozo katika jambo linalobishaniwa. All the best Tanzania ndio mshindi katika huu uamuzi.
Kuna kitu kinaitwa kanuni za maumbile hapa Duniani,mwenyezi Mungu anatutaka sisi binadamu tuzitumie ili kutoyaweka maisha kwenye rehani, ndio maana ukitaka kujenga nyumba imara lazima utumie vipimo sahihi kama hautofata ushauri huo wa kitalaam ukapata madhara unawezaje sema MUNGU AMEAMUA? lakini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.