Habari wana JF
Nasumbuliwa na tatizo la mgongo kuuma (uti wa mongo) mno sehemu ya kati kati nq kifua pia maeneo ya katikati hasa nyakati za usiku. Limeanza ni siku ya nne leo. Na kazi yangu n mwanafunzi.
Nimepima malaria,minyoo,uti vyote hamna. Lakini pia umbo hujaa gesi na kuunguluma kila...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.