Recent content by mwita mutundi

  1. M

    Mishahara imechelewa kutoka, walimu wana maisha magumu sana

    ila jamani itafika kipindi mshahara tunaweza kukosa hata miezi miwili wadau dalili ya mvua hii
  2. M

    Paul Makonda is PM in the making

    aje kuwanyoosha tuu ha ha
  3. M

    Mishahara imechelewa kutoka, walimu wana maisha magumu sana

    hoja ni kwamba mshahara unatoka kwa mafungu mafungu inatupa mashaka
  4. M

    Masikini kuwaza kujenga nyumba ya kuishi ni umasikini pia

    wewe akili zako hazina akili jenga nyumba hata vyumba viwili wanao wafurahie kwao
  5. M

    Kuna kundi kubwa la watumishi ambao bado hawajapata mshahara mpaka leo tarehe 25-10-2024

    Watoe taarifa tuu kama kibubu kimekauka watu watafute mbinu
  6. M

    Mshahara wa Oktoba bado haujatoka, wafanyakazi tunalia njaa

    tutafika siku moja tutakopwa ndugu zangu muda utaongea
  7. M

    Mishahara imechelewa kutoka, walimu wana maisha magumu sana

    yaani wamezingua sana wakina nchembaa
  8. M

    Mishahara imechelewa kutoka, walimu wana maisha magumu sana

    kuwa mtumishi wa umma nchini ni mateso sana
  9. M

    Mishahara imechelewa kutoka, walimu wana maisha magumu sana

    nasikia wajeda na watu wa halmashauri mamabo yao mazuri
  10. M

    Mshahara wa Oktoba bado haujatoka, wafanyakazi tunalia njaa

    mpaka saa kumi jioni mzigo utakuwa kwa hewa
  11. M

    Mshahara wa Oktoba bado haujatoka, wafanyakazi tunalia njaa

    mshahara vipi jamani tumekopwa nini mwezi huu?
  12. M

    NMB shida nini leo!?

    salary tayari mkuu hongera yako kula matunda ya kazi ya mikono yako
  13. M

    Mishahara imechelewa kutoka, walimu wana maisha magumu sana

    unamaanisha kuna baadhi wamepata wa CRDB
Back
Top Bottom