Recent content by Mweta Esther k

  1. M

    Naomba msaada jinsi kuhairisha chuo

    Yaan usiombe ya kakutokea ndugu its too sad, kuona unaacha kuendelea na masomo nawakati umepata GPA ya juu alafu unaacha school, I will never forget it in my life................ Never forget..... My Government.......
  2. M

    Naomba msaada jinsi kuhairisha chuo

    Kaahirisha masomo kutokana na kukosa ada na kutegemea atapata msaada toka board ya mikopo, sasa jaman mnampa ushauri wa kulipa ada yeye aipate wapi??
  3. M

    Naomba msaada jinsi kuhairisha chuo

    Lakini kumbukeni kua japo mnamtia moyo asubiri je anaenda chuo au yupo home mana vyuo vimefunguliwa mda mrefu na vyuo vingine wanakaribia test one, hapo kuna kupitwa na masomo kwa ujumla ndo baadaye mwanafunzi anafanya vibaya kwenye masomo yake.
  4. M

    Naomba msaada jinsi kuhairisha chuo

    Kwanza nikupe pole ndugu, mm poa cjapata mkopo japo niliomba sasa nimeshindwa kuendelea na masomo yangu ya degree kutokana na wazazi kushindwa kulipa ada mana tangu certificate na diploma walinilipia. Ukitegemea kipato chao cha chin (kijijini)
Back
Top Bottom