Ni Siku 37 toka nimeacha kupiga Punyeto
Asante sana Mungu, nilijua inawezekana ila ukaniambia sio kwamba inawezekana tuu bali nitakuwezesha. Katika yote ninayopitia bado umeniwezesha. Pale hali zote za nje zinapoona kuwa siwezi, mazingira yakiona siwezi nikiyatazama na yatengenezea namna ya...
Ni Siku 37 toka nimeacha kupiga Punyeto
Asante sana Mungu, nilijua inawezekana ila ukaniambia sio kwamba inawezekana tuu bali nitakuwezesha. Katika yote ninayopitia bado umeniwezesha. Pale hali zote za nje zinapoona kuwa siwezi, mazingira yakiona siwezi nikiyatazama na yatengenezea namna ya...
week ya 3 ( Siku 21) bila kupiga Punyeto.
Ninaendelea Kumshukuru Mungu kwa kila siku anavyonipagnia, Mambo Makubwa niliyoyafanya.
*Jumapili nilienda Kanisani nikatoa Sadaka ya Shukrani, pia Nikamuomba Mungu azidi kunisaidia kwa kuwa pekee yangu siwezi.
*Kuna wakati nilipitiwa kwenye jaribu...
week ya 3 ( Siku 21) bila kupiga Punyeto.
Ninaendelea Kumshukuru Mungu kwa kila siku anavyonipagnia, Mambo Makubwa niliyoyafanya.
*Jumapili nilienda Kanisani nikatoa Sadaka ya Shukrani, pia Nikamuomba Mungu azidi kunisaidia kwa kuwa pekee yangu siwezi.
*Kuna wakati nilipitiwa kwenye jaribu...
Mungu atukuzwe kwaajili yako, hongera sana. Kuna kitu kizuri wale waliopita ukawasaidia haukuwasaidia wao tuu Bali Mungu alikunusuru na kukusaidia wewe.
Utaweza kabisa kaka, na Mungu yu Pamoja nawe. Tuzidi kuimarika haijalishi hali itakuwaje
Kila LA heri, nakuombea uendelee kuimalika, na hakika unashinda.
Endelea
Kujiweka busy
Kuomba sana
Kutokaa pekee yako
Kuepuka vishawishi
Kila LA heri umefanya jambo LA Heri sana
Nimefurahi kusikia hivyo Kaka, ninachojua pekee yetu hatuwezi ila tuimuomba Mungu na tukidhamiria tunaweza kabisa.
Nafuata ushauri,
Mazoezi,
Kuwa busy na Nazi au kujisomea vitu,
Kusoma sana NENO,
Kumuomba Mungu,
Kila siku nimetenga Muda wa kumshukuru Mungu kuwa na Leo umenisaidia,
Kujitenga na...
Asante,
Bonge LA ushauri kutoka kwako, nitazingatia kwa makini na kabisa lazima Nishinde kwa kuwa Mungu yupo nami.
More
Zoezi
Sala
Lishe
Kukwepa Vishawishi
Asante
Week 2 ( siku 14) pila kupiga punyeto.
nazidi kuamini ukiamua na ukimuomba Mungu kuacha inawezekana kabisa hata iwe ngumu kiasi gani.
asante kwa mnaoendelea kutoa ushauri, na ukiwa unapitia kwenye hiyo hali na unataka kuacha jua kuwa inawezekana nami nakaza mwendo kwa kuwa nimekusudia kuacha...
Week 2 ( siku 14) pila kupiga punyeto.
nazidi kuamini ukiamua na ukimuomba Mungu kuacha inawezekana kabisa hata iwe ngumu kiasi gani.
asante kwa mnaoendelea kutoa ushauri, na ukiwa unapitia kwenye hiyo hali na unataka kuacha jua kuwa inawezekana nami nakaza mwendo kwa kuwa nimekusudia kuacha...
Umefananisha Saloon tena!!!!hapana.
Kikubwa ni kaa ukijua MTU mzima akiamua, akiweka dhamira, pia akimuomba Mungu, tena mwanaume akiwa na msimamo, akaweka moyo na focus inayopelekea Kubadilika huwa harudi nyuma hata ufanye vipi.
Mungu atusaidie kuwasaidia wengine Ila tusiwe wakuwafanya wengine...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.