Recent content by Mwenyeku

  1. Mwenyeku

    Natafuta mke

    [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] hapana mkuu ww nisaidie mm
  2. Mwenyeku

    Natafuta mke

    Mkuu uzi wangu tena unautumia ww [emoji848][emoji848]
  3. Mwenyeku

    Natafuta mke

    Upo wapi mkuu,,,, na ujue shida sio wapi tumekutana
  4. Mwenyeku

    Natafuta mke

    Inawezekana ni kweli sina hela mkuu, lkn kutokuwa na hela haifanyi nishindwe kupata mke
  5. Mwenyeku

    Natafuta mke

    Njoo PM tujue upo mtaa gani, nipo sana Dar na Dom ndio sehemu nafanya sana kazi zangu
  6. Mwenyeku

    Natafuta mke

    Na mimi nije mtaani kwako mkuu?
  7. Mwenyeku

    Natafuta mke

    Ahsante
  8. Mwenyeku

    Natafuta mke

    PM ipo wazi mkuu
  9. Mwenyeku

    Natafuta mke

    Nieleweshe mkuu,, mm kanisan naenda sana sema kule hata kutongozi inakuwa ngumu nadhan unajuwa wanavyokuwaga serious kama malaika vile
  10. Mwenyeku

    Natafuta mke

    Picha haifunguki kwangu mkuu
  11. Mwenyeku

    Natafuta mke

    Ni kweli mkuu elimu sio deal sana hasa hasa kwenye ndoa kikubwa ni kukidhi mahitaji,,, wastani wa kipato changu ni 180k -400k per month inategemea na mwezi wenyewe maana shughuli zangu sio uhakika sana japo 180k kwa kila mwezi haikosi
  12. Mwenyeku

    Natafuta mke

    Ahsante mkuu
  13. Mwenyeku

    Natafuta mke

    Classmate,,, did you know me?
  14. Mwenyeku

    Natafuta mke

    Mwanamke mwanamke tu mkuu
  15. Mwenyeku

    Natafuta mke

    Anahitajika mdada kuanzia 24-30 kama yupo tayari kuanza maisha ya ndoa nipo Dodoma. Kazi yangu ni fundi wa ujenzi elimu yangu kidato cha nne, umri miaka 32. Awe tayari tu kuolewa. Rangi, kabila na umbo sio inshu sana dini pia sio shida akiwa na mtoto mmoja sio mbaya. Kama kuna mtu yupo tayari...
Back
Top Bottom