Anahitajika mdada kuanzia 24-30 kama yupo tayari kuanza maisha ya ndoa nipo Dodoma. Kazi yangu ni fundi wa ujenzi elimu yangu kidato cha nne, umri miaka 32.
Awe tayari tu kuolewa. Rangi, kabila na umbo sio inshu sana dini pia sio shida akiwa na mtoto mmoja sio mbaya.
Kama kuna mtu yupo tayari...