Recent content by Mwenenu binnassib

  1. Mwenenu binnassib

    SoC02 Mtoto wa kitaa

    Mama Janet alimuona Mwanakombo katika haliile watoto wote wa mtaani na Mama Janet alimtambua Mwanakombo kwa jina la Chidy kwa mara ya kwanza anaingia jijini alishuhudia mdada mmoja aliyekuwa akiitwa Subira alivyokuwa akibakwa mara kwa mara baada ya kutambulika ni binti. Subira alikuwa mke wa...
  2. Mwenenu binnassib

    SoC01 Baadhi ya vitu nitakavyowafundisha wanangu kabla ya kifo changu

    Ni kweli kabisaa na pili mimi ninechapisha lakin hata sijui Kura watu wanapigaje au wanapiga wenyewe
  3. Mwenenu binnassib

    Kusaidia Ndugu/familia ni wajibu au lazima?

    Huu niutamaduni wetu watanzania na baadhi ya mataifa mfano wahindi na waarabu. Sera nzuri ya kijamaa shida ni moja au mbili 1 jinsi tunavyo wasaidia ndugu zetu Jamii ya watanzania husaidia ndugu zao kwa mtindi wa kukidhi haja ya anaye hitaji mfano mdogo wake ambaye anaweza kujishuhulisha...
  4. Mwenenu binnassib

    SoC01 Baadhi ya vitu nitakavyowafundisha wanangu kabla ya kifo changu

    Habari naomba muongozo watu wanapigaje kura
  5. Mwenenu binnassib

    SoC01 Usikate tamaa, jenga leo kesho yako

    Najua unajihisi mkosaji au unamikosi wakatimwingine pia marafiki wanakukatisha tamaa, wanakwambi kweli wewe hunabahati hata hili pia limekupita, ngoja nikwambie hayo upitiayo kuna wanadamu wenzako yanawakuta makubwa kuliko hayo. Najua umeshwahi kujiuliza hivi kinanini kizazi cha ukoo wangu...
Back
Top Bottom