Mubelwa, baada ya kulima tikiti maji mwaka 2024. Kaamua kupeleka mzigo mwenyewe sokoni, mjini Arusha.
kafanya hivo baada ya kuona ya kwamba, madalali wa shambani wamekua ni wengi na wanahitaji kununua mzigo kwa pesa kidogo.
Cha ajabu mara baada ya kufikisha mzigo sokoni anakutana na bei...
Kama umekua ukihangaika kuanzisha kilimo cha tikiti maji lakini hufahamu pakuanzia, basi makala hii ni mahususi sana kwako.
Nasema hivo, kwa kua nimekua nikilima matikiti kwa muda mrefu tangu 2020 na hapa nitatiririka na misingi 5 ambayo itakuasaidia wewe kuanzisha mradi wa kilimo cha tikiti...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.