Lazima JK atakuwa najua yote yaliyotokea. Ilikuwaje awe Dodoma katika kipindi hiki cha Bunge la kukata na shoka, yote ilikuwa ni kujaribu kumuokoa jamaa yake.
Katika hotuba yake ya Juzi Diamond,alikuwa najaribu kurejesha siasa za uvyama kwa kuvitaja vyama kwa majina ili wabunge na wananchi...
JK hizo ndizo zake hata mwaka 1994 IPTL walipokanyaga Tanzania kwa mara ya kwanza alikuwa waziri wa Nishati na Madini ndiye aliyewapokea. Akina Lowassa, Msahaba na Karamagi cha mtoto!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.