Huyu bwana hata ikiwa hatumpendi au tunampenda huyu bwana ni mtu anasoma na anaelewa mambo mengi sana. Ingekuwa Ulaya huyu bwana angekuwa nafasi nyeti sana ya maamuzi ili afanye maamuzi kwaajili ya Ujenzi wa uchumi wa Taifa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.