Kwa sasa watu wanaogopana sana, informers kibao mjini,ndy maana wanafanya biashara kwa siri kibwa sn..
yaani hii sheria za madawa wangewekewa mafisadi na wanaohujumu inchi ,,wanaokula mali ya umma,,
Hakika Tanzania ingenyooka sn..
Siku zote nasema kwamba wenzetu wazungu kesi za madawa ni kesi ya...