Ni kwl lakini lazima uwelewe kwamba kila.kitu kina date of production and date of expired..
Hata mapenzi pia yana expired date.
Ndy hapo ndoa huwa ndoano .
Kuna kipindi unaona kama mkeo sio yule aliyekuwa anakupenda na kukusikiliza,,ni kama umebadilishiwa..
Yote ni kwamba mapenzi hayapo tena...
Mtu wa vikindu na kisemvule atapanda basi la kusini mbagala.
Na anaweza akapandia njiani kama abiria wa mbezi au kibaha.
Hoja ya watu wachache kufanya kazi eneo husika haiwezi ikafanya watu wabadilishe utaratibu wa maisha..
Na ndy maana baadhi wa waajiriwa mfano walimu wanaomba uhamisho...
Stand ya mabasi ya kwenda njia ya kati,dodoma,tanga,songea , ,arusha nk.
Miaka ya 80 hadi 90 Stand zilikuwa kisutu,na mnazi mmoja pale kabla ya kuletwa ubungo terminal na mabasi yote yanapita morogoro road.
Kwhyo unapaswa uelewe kwmba wachaga walipojenga kimara, mbezi walishachaguwa location ya...
Hivi mkuu ukae kisemvule au vikindu malogoro halafu utegemee kupanda basi Magufuli terminal huoni kama ni adhabu?
Hayo maeneo ni ya watu wa kusini.
Ili kurahisisha usafiri wakitaka kwenda kwao.
Angalia wachaga walivyo jipanga njia ya kwao .
Goba,Kimara,mbezi,kiluvya,,nk..
Zingatia location...
Kwahyo watu wote wanaofanya kazi posta wanaoshi kisutu?
Pangilia muda wako vzr uwahi kazini..
Kufanya kazi eneo fulani haimaanishi kwmba ndy ujenge au kuhamia huko..
Angalia na location ya kwenu ili msisumbuke kwenye usafiri..
Unapojenga au unapopanga zingatia location ya kwenda kwenu..
Huwezi ukaishi chanika halafu ni mwenyeji wa mikoa ya kati ..
Kumbuka abiria anafata basi na sio basi linafata abiria mitaani..
Hukatazwi kufunguwa ofisi mitaani bali ni marufuku kupakia au kushusha abiria mitaani..
Abiria wote shusha ,au pakia mbezi Magufuli...
Shida ya ofisi mitaani haijulikani ni garage,au godown,au ofisi ya mizigo..ni fujo tupu mitaani..
Hili haikubali hata kidogo...
Duniani kote hakuna stand mitaani..
Watu wanapanda buses main bus terminal..
Kuacha mitaa ijazane mikokote na maguta ya mizigo ndy uzamani wenyewe huo..
Nilichogundua ni kwamba watu wengi wanaolalamika stand ya Magufuli ni wale wakazi wa kigamboni,mbagala,kisemvule nk.lakini si wazaliwa wa kusini..
Jaribu kukaa kwenye mkondo wa njia ya kwenda kwenu.
Haiwezekani mchaga au mtu ambaye kwenu ni njia ya kati unajenga kisemvule,sijuwi vikindu...
Tanga wanalalamika kwa sababu stand ya kange haitumiki kwa 100%.
bado kuna makampuni yana ofisi mitaani lakini kwenye kushuka lazima abiria wote washuke stand kange.
Ila kwenye kupakia abiria bus zinaanzia ofisini tanga mjini na kufata abiria wengine kange bus terminal..
Halmashauri inahitaji...
Tanga wanalalamika kwa sababu stand ya kange haitumiki kwa 100%.
bado kuna makampuni yana ofisi mitaani lakini kwenye kushuka lazima abiria wote washuke stand kange.
Ila kwenye kupakia abiria bus zinaanzia ofisini tanga mjini na kufata abiria wengine kange bus terminal..
Halmashauri inahitaji...
Haiwezekani mitaani kuwe na stand kila mahali,
Hilo halipo popote duniani kwenye inchi zilizoendelea.
Unaposafiri jipange..
Miaka ya 80/90 mabasi yalikuwa kisutu na watu walikuwa wanakwenda na hapakuwa na ofisi mitaani..
Na hakuna malalamiko.
Mabasi yalikuwa ubungo na hakuna malalamiko.
Kwann...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.