Recent content by mwandende

  1. mwandende

    Hivi kuna maslahi au faida gani BAKWATA wanapata kwenye kuweka waislamu kuswali Iddi mbili?

    Miaka ya 80 hadi 90 watu wote Tanzania tulikuwa tunafunga pamoja na kufunguwa pamoja ramadhan. Baada ya waislam wachache kuelimika juu ya muandamo wa mwezi ndy hapo watu wakaanza kufunga kwa kufata mwezi mmoja wa dunia. Bakwata wanachokifanya wao ni kutokukubali kuonekana wao wameshindwa.. Na...
  2. mwandende

    Hivi Wastara ametumia vigezo gani kumkubalia Dudubaya?

    Mwanamke anaweza akakusumbuwa akiwa yupo hot under 28... Ila mpe muda miaka 7 mbele...utamuonea huruma. Umri na maisha ya wastata kwa sasa ni ile points of no return. Liwalo na liwe. Kwa sasa anahitaji mwanaume yeyote mradi awe na k**nde... Mambo ya six packs,sijuwi muonekano sio kipaumbele tena.
  3. mwandende

    Ni kufunga au kubadili muda wa kula tu?

    Jaribu na wewe kama rahisi uone. Kitu usichokijuwa ni kwmba kila ikifika muda ambao umezoea kula lazima njaa iume sn tu.. Kula usiku hakusaidi chochote.
  4. mwandende

    Ni kufunga au kubadili muda wa kula tu?

    Kama. ni rahisi kufunga,, ujaribu na wewe kama hukuishia saa nane mchana. Usidhani ni rahisi kukaa na njaa na pesa ya kula unayo.
  5. mwandende

    Niulize chochote kuhusu Subwoofer na Sounds system

    Sijawahi kubadili wala kupeleka kwa fundi.. Najaribu kupata ushauri cha kufanya
  6. mwandende

    Niulize chochote kuhusu Subwoofer na Sounds system

    Mwanzo ilikuwa ikiplay USB lakini sasa haisomi tena. Je natakiwa nifanye nn icheze? Au naweza badilisha mfumo mwingine wa USB?
  7. mwandende

    Ukitaka kuoa ,oa mwanamke mwalimu

    Wengi wao tamaa ya vitu vidogo vidogo na zawadi kutoka South Africa.. Ila kwa sasa nishatoka huko nilikuwa najaribu kushare experience yng ya mahusiano na walimu..
  8. mwandende

    Niulize chochote kuhusu Subwoofer na Sounds system

    Ikiwa home theater Samsung haisomi USB inaandika error. Je inasababishwa na nn? Na inawezekana kutengeneza li isome USB?
  9. mwandende

    Kwanini Shia wanapigwa vita sana na Wasunni kama vile sio Waislamu?

    Kufata sheria ni kitu kingine na kuamini ni kitu kingine. Ila shia wanatamka hivyo kwamba mke akiwa kwenye siku zake anageuzwa.
  10. mwandende

    Ukitaka kuoa ,oa mwanamke mwalimu

    Kabisa ,,mimi nimewala sn walimu kwa style ya kwenda shuleni kufatilia maendeleo ya mtoto wng. Code yake uwe mtanashati unukie uturi,,,smart,na sio mbahili.. Utawamaliza walimu wote hapo shuleni.
  11. mwandende

    Kwanini Shia wanapigwa vita sana na Wasunni kama vile sio Waislamu?

    Unajuwa tofauti ya shia na suuni ni nn? Uisongee vitu usivyovijuwa. Shia wao wanamtukuza zaidi swahaba.wa Mtume Muhammad (SAW) ambaye ni sayyedna Alli hata kwenye swala wakitoa shahada wanamtaja.. -Shia wanawatukuza wajukuu wa Mtume Muhammad (SAW)Hasaan na Hussein ambao waliuliwa kwa...
  12. mwandende

    Ukitaka kuoa ,oa mwanamke mwalimu

    Wacha kujidanganya mkuu.. Ktk wanawake wepesi kulika ni walimu. - ataliwa na mzazi wa mwanafunzi mradi awe na ushawishi. -ataliwa na mwalimu mkuu au afisa elimu. Tena wana nafasi nzr sn ya kutoka kituo cha kazi na kwenda kwenye uzinzi.
Back
Top Bottom