Magu-fool amepachikwa na mafia Wa jeshi na polisisyemu, fulustopu. H?ta yeye analijua hilo, huyu kiumbe si kiongozi hebu ona mambo ya aibu anayofanya, nilidhani baada ha mapushapu atajorudi kumbe kichwani hamna kitu. Anaiaibisha institution ha presidency. Hivi rais Wa kweli anaweza kutoka...
Wewe lubiziba, kyende za mamako zilikauka kama jowe wakati ukizaliwa. Uchu na tamaa sa madaraka zimewafanya kikwete na genre lake la wizi kuipindua Tanzania. Utasherehekeaje kuapizwa rais Wa kuchongwa Wa plastiki maguu-fool?
Ukawa imeshinda, ila inchi ilipinduliwa. Hivi vyama vya siasa (JWTZ, NEC, na mapoliccm) vimepindua nchi kwa kubania matokeo kwa siku ne wakiyachakachua. Hii hata mtoto mdogo anajua, na habari ndiyo hiyo.
Jamaa hawajiamini, hebu angalia jinsi walivyomwaga askari na mashushushu mitaani yaan...
Kweli kabisa, hospitali za S.Africa wanatumia bed sheets zenye label ya MSD. Tena wasauzi wanavaa T-Shirts zilizoandikwa Twiga.
Mungu aliwaumba malofa TZ, policcm watazitwaa roho zao, jina lake lihimidiwe.
Magamba wamepanga kuanzisha fujo tayari, hilo liko wazi. Wana mchecheto wa kushindwa, wameanzisha maandamano bila kibali cha policcm Moshi bila kuchukuliwa hatua zozote. Wameshashindwa hao, Laigwanan amekomaa na UKAWA, hawaamini kile wakionacho.
Mkuu wa kaya, kwa hofu kuu aliyonayo ya vichinjio, alishatangaza state of emergency. Jeshi liko stand-by, tayari kuua wananchi walioichoka magamba na wameamua kuchagua MABADILIKO.
Sio mbaya, kwani Mungu aliumba na majeshi/policcm watatwaa roho za wananchi, jina lake lihimidiwe.
Ingekuwa maandamano yamefanywa na UKAWA, hivi sasa tungekuwa tunahesabu wafu na majeruhi.
Hawa ni walewale walikuwa wakisema maandamano ni kupoteza muda. Wamegeuka kuwa wapinzani sasa.
Nyinyi magamba acheni upuuzi wenu.
Wapenzi wa UKAWA wakienda kumpokea LOWASSA airport mnawapiga mabomu, eti wanasababisha foleni barabarani. Mjinga wenu maguu-fool anasimamisha gari katikati ya barabara na kuanza kutoa uharonwake kupitia mdomoni, hii nchi ni ya mamake??
Wacha azomewe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.