umenena kweli ,nimekuwa nikipata wasiwasi sana na hizi kauli za viongozi hawa wa upinzani wamekuwa kila kukicha ni kueleza mabaya tu ,inamaana serikali hii haina hata kimoja kizuri inachokifanya?
Katika habari za Leo kwenye vyombo habari ni hotuba ya rais, kimsingi mh rais kaongelea mambo mengi sana yanayohusu ujenzi na ukuaji wa uchumi wa taifa letu pia kazungumzia rushwa,ubadhilifu wa mali za uma uwajibikaji katka kazi za uma ,madawa ya kurevya na nk.lakini kikubwa ninachokiona ktk...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.