Recent content by mwanasubi kashindye

  1. mwanasubi kashindye

    Baada ya watumishi kuahidiwa kupandishiwa madaraja na mishahara, CHADEMA matumbo joto!

    mkuu umesahau hoja ya wasiojulika mitaa yake ni ufipa
  2. mwanasubi kashindye

    Zitto Kabwe na kujiuzulu kwa Professa Kitila Mkumbo ni ushahidi mwingine wa upinzani uchwara wa Tanzania

    umenena kweli ,nimekuwa nikipata wasiwasi sana na hizi kauli za viongozi hawa wa upinzani wamekuwa kila kukicha ni kueleza mabaya tu ,inamaana serikali hii haina hata kimoja kizuri inachokifanya?
  3. mwanasubi kashindye

    Dangote accuses ‘Bulldozer’ Tanzanian president of scaring away investors

    Watu wasio Italia mema utawaona tu watakaoishabikia hii habari
  4. mwanasubi kashindye

    Lini Viwanja vinavyomilikiwa na CCM vitakuwa chini ya umiliki wa Serikali Kuu au Halmashauri husika?

    Kila kiwanja kinamilikiwa na ccm !!!!dah sielewielewi wamevipatapataje? mwenye kujua atujuze.
  5. mwanasubi kashindye

    Kwa waraka huu Zitto anamtaka nini Magufuli? Ana hatari!

    Anatafuta kiki kiongozi wangu wananchi wanajuwa anachokifanya rais wao
  6. mwanasubi kashindye

    Rais Magufuli: Sitaongeza mishahara kwa Watumishi wa Umma mpaka uzalishaji uongezeke

    Ni kweli mengi yamezoeleka lakini si vibaya kuyarudia ili watu wayaelewe
  7. mwanasubi kashindye

    Rais Magufuli: Sitaongeza mishahara kwa Watumishi wa Umma mpaka uzalishaji uongezeke

    Rudia kusoma taratibu huku ukitafakari kwa makini mkuu natumai utanielewa tu sikuwa na maana mbaya
  8. mwanasubi kashindye

    Rais Magufuli: Sitaongeza mishahara kwa Watumishi wa Umma mpaka uzalishaji uongezeke

    Katika habari za Leo kwenye vyombo habari ni hotuba ya rais, kimsingi mh rais kaongelea mambo mengi sana yanayohusu ujenzi na ukuaji wa uchumi wa taifa letu pia kazungumzia rushwa,ubadhilifu wa mali za uma uwajibikaji katka kazi za uma ,madawa ya kurevya na nk.lakini kikubwa ninachokiona ktk...
  9. mwanasubi kashindye

    Ufafanuzi wa kina juu ya (vyeti) elimu ya Makonda

    Utetezi Wa kwanza huo Sent from my TECNO H6 using JamiiForums mobile app
Back
Top Bottom