Josh J umeiba andiko langu (plagiarism) bila kutaja source na umeondoa Jina langu (Matojo M. Cosatta) kwenye andiko langu . Andiko hili nimeli post mara ya kwanza kwenye group la WhatsApp linaitwa Maswali Magumu saa 5 na dakika 34 leo tarehe 30 March, 2020.
BAADA YA DK. PHILIP MPANGO KUWA MAKAMU WA RAIS JIMBO LA UCHAGUZI LA BUHINGWE MKOANI KIGOMA LIKO WAZI.
Mbunge akiteuliwa kuwa Makamu wa Rais anakoma kuwa mbunge.
Hivyobasi, Dk. Philip Isidori Mpango atakapo apishwa kuwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania atakoma kuwa mbunge wa...
Mimi ningependelea mmojawapo kati ya watu wafuatao awe mwanasheria mkuu wa serikali;
(1) Audax Vedasto Kaendaguza
(2) Francis Kwilabya Stolla
(3) Alex Mgongolwa
Je vipi kuhusu kuwafundisha wanafunzi wa sheria wa chuo kikuu shahada ya sheria kwa lugha ya Kiingereza lakini wanakuja mtaani, maofisini na Mahakamani kufanya kazi kwa Kiswahili.
Je unasemaje kuhusu hili?
Naomba ufafanuzi hapa kwa kuwa lengo la kuachana na lugha ya sheria kwa Kiingereza katika tasnia ya sheria ni kwa sababu ni lugha ngumu ambayo Watanzania wengi hawailelewi halafu tunaenda kwa lugha sheria kwa Kiswahili ambayo watu wengi hawaielewi kutokana na kutotumika.
Kwa taarifa yako Lugha ya Sheria kwa Kiswahili ni ngumu sana kuliko Lugha ya Sheria kwa Kiingereza. Kwa mfano angalia misamihati ifuatayo ya sheria kwa lugha ya Kiswahili;
(1) Ikirari
(2) Kunga
(3) Maumbizo
(4) Kiolezo
(5) Komangano
(6) Jurisprudensia
(7) Mdaawa
(8) Dawaa
(9) Kunga...
But there are mandatory procedural requirements prescribed by the law which are conditio sine quo non for establishment of every City which carry with them the concept of people's participation which is a rationale behind these mandatory procedural requirements.
Naona unapiga ramli feki.
Hacha kukalili bila ufahamu, sio kila Mwanasheria ni litigation lawyer anayeenda Mahakamani kuna corporate lawyers wanaofanya transactional legal practice na hawaendi Mahakamani maisha yao yote.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.