Shamba lina miti na visiki hivyo hata wao wataangalia watanipa bei yao nami ntaangalia kama bei yao itakuwa na manufaa kwangu but shamba lile kwa vibarua majanga
Habari wana JamiiForums,
Nnimejitokeza tena kwa mara ya pili baada ya kupata ushauri kutoka kwenu juu ya kilimo cha Mbaazi hapo nyuma, well nimepata elimu mbalimbali na kuhudhuria mpaka semina za mazao jamii ya mikunde na hivi majuzi nilikuwa nanenane pale kwenye banda la chuo cha utafiti wa...
Okey, thanks mkuu nimekupata kwa maelezo yako.. katika makala nyingi nilizo zisoma za utafiti range ina angukia hapo hapo 5-6, but mbegu za muda mrefu zina toa mazao mengi kidogo 8-10 kwa maelezo yao waliyo yatoa ila kujua zaidi ni mpaka ulime wewe au umpate mtu ambaye amesha lima ndio hapo...
Aisee pole sana mkuu, nimeuchukua ushauri wako na mimi nahisi hatutofautiani na mimi nilipolima ufuta mara mbili na huu ni mwaka wa tatu sasa lakini sipati kitu naishia kurudisha hela yangu ya kulimia tu but nimejifunza kitu muhimu sana nacho ni uangalizi wa karibu sana unahitajika, mfano mimi...
Nimekupata mkuu, well mie nipo na interest na mbaazi tu mahindi hapana kwa jinsi ulivyosema hapo mie naona kuna ongezeko si chini ya magunia matatu mkuu, na ikiwa chini ni magunia matano kwa maana hiyo ili upate magunia mengi lazima ulime ekari nyingi! ahsante kwa mchango wako mkuu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.