Recent content by mwananyaso

  1. mwananyaso

    Makonda acha Uongo, hukugombana na Wauza Unga, Uligombana na kila mtu

    Huna hoja kibwengo wewe,mmeandika sana kuhusu dogo lakini mmechemka,mmeishia kujitekenya na kucheka wenyewe tu,jamaa habadililiki na kasi yake ndio kwanza inaongezeka maradufu
  2. mwananyaso

    Makonda acha Uongo, hukugombana na Wauza Unga, Uligombana na kila mtu

    Ngada na ufipa tena,ni kama maji na samaki
  3. mwananyaso

    Nani alitaka kumuua Paul Makonda?

    Wauza dawa za kulevya,mbona mnavichwa vigumu sana kuelewa?,maelezo yake yanajitosholeza wewe jinga sana
  4. mwananyaso

    Kinana nyoosha maneno Hayati Magufuli hakupora fedha halali za wananchi wema, bali aliwanyanganya mafisadi pesa za umma walizopora

    Zote zilikuwa ni za magumashi tu,ilikuwa halali kufilisiwa,uchunguzi ulifanyika na serikali ikajirishisha
  5. mwananyaso

    Ndugu Amos Makalla na ndugu Nchimbi hamna mvuto mmepoa sana wananchi hawawaelewi

    Fuatilia mahojiano ya Tundu Lissu na Alyose Nyanda wa startv kuhusu huo upotoshaji wako,aliulizwa swali na akakiri mtu binafsi anao uwezo wa kufungua kesi moja kwa moja bila ya kupitia huyo DPP wako
  6. mwananyaso

    Kwa mazingira ya sasa, Sioni Kitakachomzuia Ridhiwani Kikwete kuwa Rais wa Tanzania hapo Baadae

    Urais wa kupeana muda wake umekwisha,watanzoo wameamuka kwa sasa,patachimbika
  7. mwananyaso

    Inasikitisha sana, yaani sekretarieti ya CCM inayofanya ziara mikoa sita imezidiwa na jeshi la mtu mmoja?

    Mwingine yuko huku anarusha vijembe kwa marehemu eti wanakusanya sana kodi na mapato yamevunja rekodi wakati kila siku tunakopa; na hata kile tunachokopa, kwa kiasi kikubwa, kinaishia kutapanywa tu na kuliwa na mafisadi wachache. Ni kama vile wamefikia mwisho wao wa kufikiri. Na bila wizi wa...
  8. mwananyaso

    Mkutano wa Msemaji Mkuu wa Serikali na Waandishi wa Habari

    Utakuta ndio yeye huyo msemaji wa serikali mwenyewe,user yake hiyo
  9. mwananyaso

    Inasikitisha sana, yaani sekretarieti ya CCM inayofanya ziara mikoa sita imezidiwa na jeshi la mtu mmoja?

    Katibu mkuu Nchimbi,katibu mwenezi Amosi Makala,Alli Hapi wazazi,na Joketo Mwegelo vijana bado hata robo ya amshaamsha ya MAKONDA hata robo yake hamjamfikia kulikoni? Mngedoda sana, bahati yenu mnatembelea nyota ya Alli Hapi, mambo yangekuwa magumu sana. Pia style yenu ya utatuzi shida za...
  10. mwananyaso

    Sasa ni Rasmi Magufuli amegoma kufa!

    Nani kakudanganya ni COVID-19 ndio iliyomuua? [emoji41]
Back
Top Bottom