Recent content by mwananyaso

  1. mwananyaso

    Tetesi: Wanasheria wa Paul Makonda wanajipanga kumburuza mahakamani Tundu Lissu kwa defamation case ya kumuita na kumtangaza muuaji.

    Nilitegemea mfurahi yeye kwenda mahakamani kwa kumsapoti ili aingie mkenge mfanikishe adhima yenu ya kummaliza,cha kushangza nyie wachangiaji wengi wenu mnamzuia kwa kumtahadhalisha, tukubaliane kuna jambo mnalijua mnaogopa litawatokea puani. Upigwe risasi ushahidi unao tena mzito,unaishia...
  2. mwananyaso

    Tetesi: Wanasheria wa Paul Makonda wanajipanga kumburuza mahakamani Tundu Lissu kwa defamation case ya kumuita na kumtangaza muuaji.

    Vipi ikiwa Lissu kadanganywa?,je kulala hiyo hotel kunauhusiano gani na shambulizi lake?,tumieni elimu yenu ndogo kutafakari Sheria badala kudhaniadhania hovyo
  3. mwananyaso

    Tetesi: Wanasheria wa Paul Makonda wanajipanga kumburuza mahakamani Tundu Lissu kwa defamation case ya kumuita na kumtangaza muuaji.

    Hivi vichwani mwenu huwa kumejaa mavi badala ya ubongo?,yaani mwaka wa nne huu mnadai ushahidi upo,hamuendi mahakamani ili haki itendeke,kazi yenu ni kuanzisha nyuzi kila uchao za kumkashifu na kumtukana matusi kedekede,hamuoni kwamba hiyo siasa maji taka? Sasa yeye anakwenda mahakamani ili...
  4. mwananyaso

    Kutekwa Kwa Lema Ndani ya Ndege Kwa Ufunua Ubinafsi Wa Watanzania.

    Hivi huu uzi mbona wa kifala sana,unajuaje kama hayo maswali yako hayakufanyika?,umesikiriza upande wa pili? au unatembea na mdundo wa Lema space?,unamwamini huyo muhuni? Eti wananchi wangepiga picha,picha ya nini?,serikali ukiitia kidole yenyewe inakuzamishia mkono wote hapo ndio utajua nani...
  5. mwananyaso

    Watanzania wana imani kubwa sana na Paul Makonda na kamwe Lissu hawezi kushusha na kuondoa imani hiyo

    Wewe weka tangible evidences kuhusu tuhuma dhidi yake,maana miaka inakatika moo nyuma ya keyboard kumshambulia,fungueni jalada,mnajidharaulisha sana mabwege nyie
  6. mwananyaso

    Serikali imlipe Tundu Lissu gharama zake za matibabu

    Aende mahakamani ili spare haki yake,pia kuna wanasheria wehu tu
  7. mwananyaso

    Kupigwa risasi kwa Tundu Lissu: Kampuni ya simu ya Tigo yadaiwa ilivujisha mawasiliano yake kwa mamlaka

    Hivi yule dereva wa Lissu alikimbiliaga wapi?,na kwanini haijulikani hatma yake?,nini kimejificha?
  8. mwananyaso

    Code zinaanza kufunguka

    Kwahiyo hao beberu ndio wanauwazi? Wamesomba madini hata kabla babu yako hajazaliwa ,ndio uwazi wenyewe?
  9. mwananyaso

    Hayati Magufuli kaacha legacy mbaya sana kwenye usalama wa nchi hii!

    Wewe mbwa bado unahangaika na marehemu?, pathetic!
  10. mwananyaso

    Kipi rahisi kati ya kuzuia maandamano na kumwajibisha IGP, Waziri Masauni?

    Unafikiri nchi inaendeshwa kama familia yako unavyoipeleka?, Kama ajenda ni kumuondoa Masauni na Wambura utasubiri sana,
  11. mwananyaso

    Nani kuivunja rekodi ya kiuchumi ya Hayati Rais John Pombe Magufuli?

    Magufuli hakupika takwimu kama world bank walipika nitakubaliana na wewe,yule alikuwa ntu ya kazi watanzania wanajua na dunia inajua hivyo
Back
Top Bottom