Huna hoja kibwengo wewe,mmeandika sana kuhusu dogo lakini mmechemka,mmeishia kujitekenya na kucheka wenyewe tu,jamaa habadililiki na kasi yake ndio kwanza inaongezeka maradufu
Fuatilia mahojiano ya Tundu Lissu na Alyose Nyanda wa startv kuhusu huo upotoshaji wako,aliulizwa swali na akakiri mtu binafsi anao uwezo wa kufungua kesi moja kwa moja bila ya kupitia huyo DPP wako
Mwingine yuko huku anarusha vijembe kwa marehemu eti wanakusanya sana kodi na mapato yamevunja rekodi wakati kila siku tunakopa; na hata kile tunachokopa, kwa kiasi kikubwa, kinaishia kutapanywa tu na kuliwa na mafisadi wachache.
Ni kama vile wamefikia mwisho wao wa kufikiri. Na bila wizi wa...
Katibu mkuu Nchimbi,katibu mwenezi Amosi Makala,Alli Hapi wazazi,na Joketo Mwegelo vijana bado hata robo ya amshaamsha ya MAKONDA hata robo yake hamjamfikia kulikoni?
Mngedoda sana, bahati yenu mnatembelea nyota ya Alli Hapi, mambo yangekuwa magumu sana. Pia style yenu ya utatuzi shida za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.