kwa wale tunao amin umoj ni nguvu,hatuwez kufuata mawazo ya kipumbavu km hayo.nchi za ulay zinajiuunga pamoja na utajir wao.so mawazo ya kibaguzi ya watu wachache km nyia,kamwe hatuwez kuyafanyia kazi
ni ujingaaa,kura za siri ni kwa uchaguzi wa watu co mambo ya kitaifa kama bajeti ya nchi as same as katiba ya nchi.wapige wazi tujue wapi wawakilishi wa wananchi au wawakilishilishi wa vitambi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.