Recent content by Mwanalisa Muhindi

  1. Mwanalisa Muhindi

    SoC02 Tufuge nyuki kwa maendeleo endelevu na tuwalinde kwa wivu mkubwa

    Kikubwa nilichojifunza ni kwamba viumbe hai; tunategemeana miti, wanyama na wadudu tunategema. Kwahiyo ukataji wa misitu hovyo unapelekea kupunguza miti ambayo ndio inatupa oxygen pia inapelekea wadudu muhimu kama nyuki kupoteza Makazi ambayo yangekuwa ni rafiki kwao zaidi. Ni muhimu kulinda...
  2. Mwanalisa Muhindi

    SoC02 Tufuge nyuki kwa maendeleo endelevu na tuwalinde kwa wivu mkubwa

    Watu wana hasira na mazingira hawataki mchezo. lakini mm nakubaliana na fact kwamba biashara ya mkaa ni moja ya biashara ya Hovyo.
  3. Mwanalisa Muhindi

    SoC02 Tufuge nyuki kwa maendeleo endelevu na tuwalinde kwa wivu mkubwa

    Salute kwako andiko lako limetufungua wengi
  4. Mwanalisa Muhindi

    SoC02 Tufuge nyuki kwa maendeleo endelevu na tuwalinde kwa wivu mkubwa

    Nitakupigia Boss wangu unipe elimu zaidi
  5. Mwanalisa Muhindi

    SoC02 Tufuge nyuki kwa maendeleo endelevu na tuwalinde kwa wivu mkubwa

    Kumbe kuna kamati ya ushauri wa nyuki, je hiyo kamati ipo chini ya Serikali au ni wadau binafsi PIRO tycoon4
  6. Mwanalisa Muhindi

    SoC02 Tufuge nyuki kwa maendeleo endelevu na tuwalinde kwa wivu mkubwa

    Thanks Lumola nami nmpata faida kubwa kupitia majibu haya ya swali la kaka Peter Kagyabukama
  7. Mwanalisa Muhindi

    Tui-support Association ya AMETT

    Pia watupe link tufuatilie kongamano lao YouTube
  8. Mwanalisa Muhindi

    Tui-support Association ya AMETT

    Kila la heri kwenye kongamano lenu tupo pamoja na nyie
  9. Mwanalisa Muhindi

    SoC02 Tufuge nyuki kwa maendeleo endelevu na tuwalinde kwa wivu mkubwa

    Tungekuwa tuna serikali inayojitambua tungekuwa mbali sana hii nchi Ina vijana vichwa sana
  10. Mwanalisa Muhindi

    SoC02 Tufuge nyuki kwa maendeleo endelevu na tuwalinde kwa wivu mkubwa

    Kabisa hata mimi mpk nisome ndio napiga kura
Back
Top Bottom