Recent content by Mwanajamvi

  1. M

    Dk Kikwete hujalitendea haki taifa langu

    Daaaaaaaaaaaaaaaah wananchi mitaani wana hasira ni manung'uniko kila kona!! Kwa hili ki ukweli hapa Taifa hakuna!!! Tushazikwa tungali hai!!! Hii hotuba imetuvunja moyo wengi!!!! Hivi wananchi hatuwezi kuchukua maamuzi yoyote tunusuru nchi hii? R.I.P JK Nyerere!
Back
Top Bottom