We Mzee wa Twanga una matatizo sana! Umeshalezwa na kufafanuliwa Mbowe alisema nini na anamaanisha nini juu ya kufananisha CCM na ukoloni lakini we upo tu umekazania! Husikii, huelewi na hutaki kuamini vinginevyo. Unaamka asubui ukiwa umeweka msimamo mkali katika uongo, kisha unakuja hapa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.