Miliki kiwanja Michese Dodoma kwa ajili ya kujenga nyumba ya kuishi, lodge, apartments au fremu za biashara. Kiwanja kipo kwenye barabara ya mtaa na kinatazamana na nyumba ya kulala wageni.
Ni kiwanja kikubwa sana 2091sqm, kinakaribia nusu ekari. Kimepimwa, kina documents zote na kipo eneo zuri...
Ardhi ni mali isiyohamishika, haiozi, haiharibiki, haiibiwi, ni investment ambayo haikupi stress na zaidi sana thamani yake inaongezeka kila siku. Ukiinunua leo laki tano, kesho jioni utaiuza zaidi ya laki tano.
Nina habari njema kwako leo mwekezaji, kuna shamba linauzwa Mpunguzi Dodoma. Ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.